Categories
Neno la Mungu

Uaminifu wa mwanaume kwa mke na familia yake

Katika zama ambazo uaminifu unaonekana kama kitu cha kizamani, mwanaume mwaminifu amebaki kuwa kielelezo cha heshima, uaminifu kwa Mungu, na msingi wa familia yenye nguvu. Uaminifu hauhusu tu kutozini, bali ni hali ya moyo unaojitoa kikamilifu kwa mke wake – kimwili, kihisia, na kiroho. Hii ni silaha dhidi ya kuvunjika kwa ndoa na kizazi. 1. […]

Categories
Neno la Mungu

Ufafanuzi wa Kitabu cha Matendo ya Mitume Sura ya Kwanza (Matendo 1)

Sura ya kwanza ya Matendo ya Mitume ni msingi wa kuelewa historia ya Kanisa la kwanza. Inaelezea kipindi cha mpito kutoka kwa huduma ya Yesu duniani hadi kwa kazi ya mitume, ikiwemo ahadi ya Roho Mtakatifu, agizo kuu la Yesu, kupaa kwake mbinguni, na uteuzi wa mtume mwingine kuchukua nafasi ya Yuda Iskariote. Mstari 1–3: […]

Categories
Neno la Mungu

Sifa si tu sehemu ya ibada, bali ni silaha ya kiroho ya kupata mpenyo.

Katika Biblia, tunaona wazi kwamba kuimba sifa kwa Mungu kunaweza kufungua milango ya mabadiliko ya kiroho, miujiza, na hata ukombozi wa kimaisha. “Lakini panapo usiku wa manane, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumuimbia Mungu nyimbo; na wafungwa waliwasikiliza. Ghafula kukawa na tetemeko kubwa la nchi, hata misingi ya gereza ikatikisika; mara milango yote ikafunguka, […]

Categories
Neno la Mungu

Vipimo vya Mungu juu ya kazi zetu siku ya hukumu

_____________________________________ Mtume Paulo anaeleza kuwa kazi zetu (kama waamini au watumishi wa Mungu) zitapimwa na “moto”, yaani zitawekwa chini ya kipimo cha Mungu ili kuonyesha kama ni thabiti, safi, na za kweli. Hii haizungumzii wokovu kwa matendo, bali tuzo au thawabu kwa uaminifu wetu katika huduma na maisha ya kila siku. 1 Wakorintho 3:13 (SUV):“Kazi […]

Categories
Neno la Mungu

Maombi ya Mke Hufungua Mbingu kwa Ajili ya Mume

Maombi ya mke si jambo la kawaida. Hupenya ulimwengu wa roho na kuweka ulinzi wa kipekee kwa mume. Mwanamke anapoombea mume wake, anampa nafasi Mungu kumlinda, kumwelekeza, kumuinua na kumkomboa na mitego ya shetani. “Maombi ya mwenye haki yaweza mengi, akiomba kwa bidii.” Yakobo 5:16b Stormie Omartian, mwandishi wa The Power of a Praying Wife […]

Categories
Neno la Mungu

Who is Pastor Aloyce

Pastor Aloyce Aloyce J Aloyce is the Lead Pastor and Founder of the Disciples Community Church (DCC) located in Kisesa Mwanza, Tanzania. Aloyce J Aloyce is a husband of one wife and father of children. Aloyce J Aloyce is the Lead Pastor and Founder of the Disciples Community Church (DCC) located in Kisesa Mwanza, Tanzania. […]